imam khomeini

IQNA

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa njia ya Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu amrehemu) ni kushirikiana na wananchi na kuwa pamoja nao.
Habari ID: 3481873    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31

IQNA-Sherehe za kuadhimisha mwaka wa arobaini na saba tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu zimeanza kwa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuzuru haram haram tukufu ya Imam Khomeini (MA), muasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3481872    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu, Imam Rouhullah Khomeini (MA) alikuwa mjumbe wa umoja na mshikamano miongoni mwa watu, akisisitiza kwamba mataifa ya Waislamu yanapaswa yaungane ili maadui wasiweze kuibua mifarakano miongoni mwao.
Habari ID: 3481678    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/18

IQNA – Katika mahojiano ya mwaka 2015, Profesa Abdulaziz Sachedina, aliyewahi kufundisha masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha George Mason, Virginia, Marekani, alisema kuwa ujumbe wa Imam Khomeini (RA), uliotokana na Qur’ani Tukufu, ulikuwa wa kiulimwengu na uliwahusu Waislamu wote.
Habari ID: 3481617    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) mjini Tehran litakuwa mwenyeji wa moja ya matukio makubwa ya kielimu na kiutamaduni ya mwaka huu mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3481608    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03

Msomi wa Bahrain
IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Imam Khomeini (RA), Hija ni ibada isiyotenganishwa na wajibu wa kisiasa na wa kidini, amesema mwanazuoni mmoja kutoka Bahrain.
Habari ID: 3480789    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

IQNA – Mtaalamu mmoja kutoka Lebanon amesema kuwa lengo la harakati ya Imam Khomeini ilikuwa kuelekea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na hivyo fikra zake zikitokana na misingi ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480787    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

Rais Pezeshkian
IQNA-Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa iwapo Wairani wataendelea kushikamana na misingi ya Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu), hakuna nguvu yoyote ya kigeni itakayoweza kuushinda mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu wala kuwatatiza Waislamu wengine.
Habari ID: 3480786    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema urutubishaji wa urani ndio ufunguo wa suala la nyuklia la Iran, akipuuzilia mbali pendekezo la Marekani kwa Tehran la kusimamisha kikamilifu urutubishaji wa madini hayo (ya urani).
Habari ID: 3480785    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

IQNA – Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) alisisitiza umuhimu wa marekebisho ya fikra na mitazamo kwa msingi kwamba binadamu asijidharau bali ajione kama kiumbe anayeweza kuona zaidi ya ulimwengu wa mali na kiroho. Kwa sababu hiyo, alianzisha mapinduzi ya kiroho na yanayoungwa mkono na umma.
Habari ID: 3480783    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03

IQNA – Semina ya kimataifa ya mtandaoni chini ya anuani ya “Imamu Mkuu Khomeini (MA): Kielelezo cha Mabadiliko katika Ulimwengu wa Kiislamu” imepangwa kufanyika Jumanne, tarehe 3 Juni.
Habari ID: 3480777    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naeem Qassem, amesisitiza kuwa mafundisho Uislamu asili wa Mtume Muhammad kupitia misingi ya kimapinduzi ya Imam Ruhollah Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) yataendelea kuwa mwanga unaoongoza harakati za mapambano au Muqawama na vuguvugu za ukombozi katika eneo la Asia na ulimwengu mzima wa Kiislamu.
Habari ID: 3480775    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02

IQNA – Afisa mmoja wa Iran ameelezea mtazamo wa kimapinduzi wa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) kuhusu suala la muqawama (mapambano), akisema kuwa muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu aligeuza Palestina kuwa suala nambari moja kwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3480772    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu-RA) aliweka msingi wa sera ya mambo ya nje ya Jamhuri ya Kiislamu juu ya kanuni ya "kupinga ubeberu."
Habari ID: 3480764    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31

IQNA – Siku ya Kimataifa ya Quds ni fursa ya kuonyesha msaada wa umma kwa  taifa la Palestina na ukombozi wa al-Quds, amesema afisa mwandamizi nchini Iran.
Habari ID: 3480435    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25

IQNA – Semina ya kitamaduni na kielimu iliyopewa jina “Utangulizi wa Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu katika Nyanja ya Wanawake” iliandaliwa jijini Dar es Salaam, Tanzania, Jumatatu.
Habari ID: 3480205    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12

Massoud Pezeshkian ni Nani?
Rais mteule wa Iran Daktari Massoud Pezeshkian alifanya ziara katika kaburi la Imam Khomeini (RA) ili kufufua utiifu wake na itikadi za marehemu muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3479086    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08

Mkutano wa Waislamu
Toleo la 38 la Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran mwezi Septemba.
Habari ID: 3479062    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03

Mtazamo
IQNA-Leo imetimia mwaka wa 35 tokea alipoaga dunia, Imam Ruhullah Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu-MA-) muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3478923    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/03

Hauli ya Imam Khomeini
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei leo mjini Tehran amehutubu katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 35 tangu aage dunia Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusema tukio chungu la kumpoteza rais wa nchi na taathira zake ni tukio muhimu zaidi nchini Iran katika mwaka mmoja uliopita.
Habari ID: 3478922    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/03